Moja kati ya msimu ambao klabu ya Chelsea haitowahi kuusahau basi ni msimu wa 2021-22
ukiachana na kuwa kwenye ligi ya Uingereza epl chelsea walimaliza nafasi ya tatu.
Lakini pia wakafanikiwa kuondoka na mataji matatu, wakishinda UEFA Super Cup na FIFA Club World Cup (kombe la Dunia la vilabu)
Lakini ulikuwa ni moja ya msimu bora sana kwa klabu ya chelsea msimu ambao kama wangezichanga vzr basi walikuwa wanaondoka na mataji sita, eeh ndio
Unajua Chelsea katika msimu wa 2021-22 walishiriki katika vikombe sita tofauti tofauti, 6 tournaments.
kwanza ni
* Premier League Epl
* FA Cup
* EFL Cup (Carabao Cup)
* UEFA Champions League
* UEFA Super Cup
* FIFA Club World Cup
lakini wakajikuta wanaambulia mataji matatu pekee, na kupoteza matatu
kwenye primier league chelsea walimaliza katika nafasi ya tatu katika msimamo wa ligi kuu ya nchini Uingereza,
Mancity wakafanikiwa kuondoka na taji hilo kwa tofauti ya alama 20.
Uefa champions league wakaondoshwa katika hatua ya robo fainal na klabu ya real Madrid chelsea wakakutana na come back nyumbani kwao, mechi ya kwanza chelsea alishinda goli 3 kwa 2 santiago bernabeu alivorudi darajani akachezea 3 kwa 1,
kwenye super cup wakafanikiwa kumfunga villareal katika mikwaju ya penalty baada ya kutoa sare.
Kimbembe kikawa hapa, kwenye Fainal mbili ambazo zote walikutana na Liverpool huu msimu ulikuwa ni hatari sana Chelsea na liverpool walikutana katika fainal mbili ndani ya msimu mmoja, Fainal ya EFL Carabao Cup na FA CUP na zote Chelsea alipoteza,

May, 14, 2022, Chelsea wakajikuta fainal ya FA CUP na mpinzani wao ni Yule yule Liverpool, katika huu mchezo yakajirudia yale yale ya fainal ya karabao Full time mechi ikamalizika kwa sare ya bila kufungana hadi kwenye extra time Nil Nil, yaani bila bila, game ikabidi imalizwe kwa mikwaju ya penalty moja. Unaukumbuka huu msimu?
Oya zilipigwa penalty 11 katika hii mechi, zote chuma kwa Liverpool
Sasa hii ndio ilikuwa penalty ya mwisho ya 11 kwa chelsea apo Golikipa aliyetegemewa sana na kocha Thomas tukel kocha wa chelsea kipindi hiko kuja kufanya save bwana Kepa arrizabalaga anapewa penalty ya mwisho kabisa na anapaisha na kuinyima ubingwa klabu yake ya chelsea, kilichowauma zaidi mashabiki wa chelsea ni kitendo cha kocha Thomas tukel kumfanyia sub Eduardo Mendy golikipa aliyefanya saves kibao ndani ya pitch alafu anakuja kumweka golikipa mwingine ambaye anashindwa kusave ata penalty moja
Liverpool wakaondoka na ubingwa wa Fa Cup,

Ikafuatia fainal ya EFL Carabao Cup, ilipigwa hii ikapigwa usiku wa Feb 27, 2022, pale Wembley Stadium jijini London, Uingereza, yakajirudia yale yale ya fainal ya FA CUP mechi ikapigwa 90 dk zikakata Chelsea 0 liverpool 0, extra time vivyo hivyo,
Wakaenda katika mikwaju ya penalty Liverpool wakaondoka na ubingwa wakishinda Penalty 6 kwa 5,Ni msimu

gani? mwingine unahisi ulikuwa wa moto zaidi kwa ze blues? Drop ur comment hii hapa ni supa12 ya dino television endelea kutufollow kwa taarifa nyingi zaidi za kimichezo.

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *