Kuna tofauti kubwa kati ya UEFA Euro na UEFA Nations League, ingawa mashindano yote mawili yanahusisha timu za taifa za Ulaya na huandaliwa na UEFA. Hizi hapa tofauti kuu: UEFA Euro (Ubingwa wa Ulaya)...
Moja kati ya msimu ambao klabu ya Chelsea haitowahi kuusahau basi ni msimu wa 2021-22 ukiachana na kuwa kwenye ligi ya Uingereza epl chelsea walimaliza nafasi ya tatu. Lakini pia wakafanikiwa kuondoka...
Kuna matukio Mengi yanayotokea katika mchezo wa soka matukio ambayo, yanaacha kumbukumbu kubwa katika maisha ya watu, zinaweza kuwa kumbukumbu njema ama mbaya? Nadhani siyo kitu kigeni kushuhudia watu...
Vitabu vya Dini husema mwenye nacho huongezewa na asiyekuwa nacho hata kile kidogo alichokuwa nacho hunyan’ganywa Si ndio?sasa kuna Muda Dunia hufanya Virse versa, kuna Muda dunia humshusha yule...
Huyu ndie aliyetabiriwa kuja kuwa mfalme baada ya ufalme wa Pele, Armando Maradona, Lionel Messi, na Cristiano Ronaldo. lakini alipangalo Mungu mwanadamu ni nani? apinge, basi huyu ndie Mwanamfalme...